Kila ndoa liko na kutokuelewana, lakini
sio kutoelewana yote inaweza jenga ndoa
Kutokuelewana ni jambo la kawaida hata
katika ndoa iliyo na mungu
lakini kutoelewana inafaa kuleta
kuelewana zaidi
Kutokuelewana yafaa ilete kuelewana
kukubwa zaidi
tunapotelewa na funzo
linatokana na kutokuelewana
badala ya iwe funzo, tunaishia
kurudia makosa yanayoleta kutokuelewana
na hio ndio sababu inayofanya mapenzi
inaingiza baridi, tunaishi kwa mambo ya kale
unamkumbusha bwana yako makosa
yaliyopita
unamkumbusha bibi yako makosa
yaliyopita wakati kunapokuwa na mzozo
unakuwa ukirudia ile makosa
badala ya kuyafanya yale makosa yawe funzo
badala ya kukomaa kupitia ile kutoelewana.
kutokuelewana lazima kutajileta
kutokuelewana lazima kutajileta
mizozo lazima itakuja.
lakini sisi ni Wakristo wanaoelewa kwamba
ya kale yamepita
tunafaa kujifunza kupitia ile kutoku-
elewana.
Kuna tofauti kati ya uzoefu wa maisha na
mafunzo ya maisha.