Kila ndoa liko na kutokuelewana, lakini sio kutoelewana yote inaweza jenga ndoa Kutokuelewana ni jambo la kawaida hata katika ndoa iliyo na mungu lakini kutoelewana inafaa kuleta kuelewana zaidi Kutokuelewana yafaa ilete kuelewana kukubwa zaidi tunapotelewa na funzo linatokana na kutokuelewana badala ya iwe funzo, tunaishia kurudia makosa yanayoleta kutokuelewana na hio ndio sababu inayofanya mapenzi inaingiza baridi, tunaishi kwa mambo ya kale unamkumbusha bwana yako makosa yaliyopita unamkumbusha bibi yako makosa yaliyopita wakati kunapokuwa na mzozo unakuwa ukirudia ile makosa badala ya kuyafanya yale makosa yawe funzo badala ya kukomaa kupitia ile kutoelewana. kutokuelewana lazima kutajileta kutokuelewana lazima kutajileta mizozo lazima itakuja. lakini sisi ni Wakristo wanaoelewa kwamba ya kale yamepita tunafaa kujifunza kupitia ile kutoku- elewana. Kuna tofauti kati ya uzoefu wa maisha na mafunzo ya maisha.