Ukweli kwamba mtu anakujali haimaanishi ana nia njema. Ukweli kwamba mtu yuko tayari kukusikiliza haimaanishi kuwa mtu huyo anakupenda. Kuna wengi wenye masikio yawashao lakini mioyo yao michanga. Je, unalalamika kwa mtu fulani ili akujali au unajiaminisha kwa mtu fulani ili kupata suluhu? Kwa sababu ikiwa unapendezwa zaidi na huruma kuliko suluhisho, yawezekana ukaudhabihu uadilifu wako kwenye madhabahu ya matatizo yako.