Kuna wengi wetu - tunajua
sauti ya Mungu imechochea mioyo yetu kuchukua hatua.
Lakini kwa sababu ya hofu, kwa sababu ya shaka, kwa sababu ya uduni,
tunasalia katika wavu unaoonekana kuwa wa usalama wa kufahamiana.
Sasa hivi, pokea ujasiri huo!
Pokea ujasiri huo wa kutoka katika mwelekeo wa kile ambacho Mungu ameweka moyoni mwako,
kupiga hatua katika mwelekeo wa wito wa Mungu kwa maisha yako!
Unapotoka katika mwelekeo wa wito wa Mungu, utajishangaa mwenyewe,
utajishangaa, utaleta mabadiliko katika ulimwengu wako!
Pokea ujasiri huo, pokea nguvu hizo, pokea ujasiri huo!