Kuna wengi wetu - tunajua sauti ya Mungu imechochea mioyo yetu kuchukua hatua. Lakini kwa sababu ya hofu, kwa sababu ya shaka, kwa sababu ya kutojithamini, tunasalia katika wavu unaoonekana kuwa na usalama tuliouzoea . Sasa hivi, pokea ujasiri huo! Pokea ujasiri huo wa kwenda katika mwelekeo wa kile ambacho Mungu ameweka moyoni mwako, kupiga hatua katika mwelekeo wa wito wa Mungu kwa maisha yako! Unapokwenda katika mwelekeo wa wito wa Mungu, utajishangaa mwenyewe, utajishangaa, utaleta mabadiliko katika ulimwengu wako! Pokea ujasiri huo, pokea nguvu hizo, pokea ujasiri huo!