USIKIVU WA KIROHO - NDUGU CHRIS
neema na amani kwenu nyote katika jina kuu la yesu kristu
na wacha nianze kwa kuwakaribisha kwa hii mwaka wa 2024
asante yesu
Asante yesu, kwa neema kuingia mwaka huu mpya
hakika, kwa neema kuingia siku mpya, dakika mpya, sekunde mpya.
kwa sababu ya neema yake
na watu wa mungu, njia nzuri kujitayarisha kwa mwaka 2024
inaanza na kukagua kila siku, ukianza na leo
kwa kuwa licha ya umakini wa malengo au maazimio, jua hii
maisha yako haitabadilika mwaka wa 2024 ila ubadili mambo ufanyayo kila siku
ubakie thabiti ipite mwaka 2024, kaa thabiti leo
utayarishe yale vitu ambavyo hauwezi kutayarisha mwaka wa 2024, ujali juu ya leo
kwa kuwa leo ni yako
sasa leo, nataka kugawa ujumbe ambao umekua ndani ya moyo wangu
kwa wiki za karibu na lengo kuu la ujumbe huu ni ''USIKIVU WA KIROHO''
Narudia , usikivu wa kiroho
waona, hatari kuu iletwayo na giza imefichwa kwa kutofaulu kuweza kuijtambua
kwa maneno mengine wacha niseme hivi
kutoweza kuitambua sisi yenyewe shida ndio shida yenyewe
hiyo ni shida kuu kuliko chenye sisi wengine tunatambua kama shida katika maisha yetu
na kuwa makini, watu wa mungu
jambo thabiti ya kukaisha na hata kuongeza shida ni kukosa kutambua shida
jinsi unapokumbana na shida yako ni shida kuu zaidi yenyewe
nataraji utafuata hayo ninayosema watu wa mungu
shida tunayopitia leo imekaa kwa njia tunayokumbana na shida zetu
na utambue hii, kuna majaribu, shida katika safari ya maisha
ambayo mambo ya kindani tu yaweza kukupitisha
kwa kauli hii, kumbuka nilichosema kuhusu ''usikivu wa kiroho''
nawapeleka kwa andiko katika kitabu cha Waebrania 3
ndio itakua andiko kuu kwa ujumbe wetu leo - Waebrania 3:12-14
wacha tusome, watu wa mungu
''angalieni ndugu zangu, asiwepo miongoni mwenu mtu yeyote mwenye moyo wa dhambi
usioamini unaomfanya ajitenge na mungu wa uzima;
bali muonyane kila siku maadamu bado ni 'leo'
ili asiwepo mtu kati yenu anayefanywa mkaidi na udangayifu wa dhambi.
kwa kuwa tumekuwa washiriki katika kristo
kama twashikilia toka mwanzo ujasiri thabiti hadi mwisho
sasa, adui mkubwa wa kuendelea kijroho ni ugumu wa moyo
moyo ambao unakosa usikivu wa kiroho
roho ambao umetulia gizani kwa udanganyifu wa dahmbi
na kuwa ndani zaidi kwa udangayifu ndio zaidi giza inazidi
''ikiwa basi mwanga ndani yako ni giza, hiyo giza ni kuu sana
maneno ya yesu katika Matayo 6:23
kwa kuwa adui anaweza kukudanganya, hivyo anaweza kukupoteza
sasa, angalia karibu nawe na chenye inafanyika duniani
haitachukua muda kutambua madhara ya giza
uasi dhidi ya mungu na neno lake
lakini usione karibu tu . La!
nakuita leo uangalie ndani yako
kwa kuwa moyo wa uasi wetu ni uasi wa mioyo yetu
wakati hisi za kimwili inapopata malengo yasiyothabiti, matendo maovu hayapo mbali sana
lakini ukuu wa neema ya mungu
ni kuwa kuna nafasi toba
lakini zingatia, watu wa mungu
uwepesi wa toba yetu unaakisi kiwango ya usikivu wa kiroho
upinzani wa toba inaakisi ugumu wa moyo
sio tu kuwa sisi wakristo hatufanyi makosa
tunafanya. tunaweza kufanya makosa
lakini unapokuwa na usikivu wa kiroho ni rahisi kuutambua
rahisi kuitikia, rahisi kuunganisha, na rahisi kuleta toba
lakini ugumu wa kutoa toba inaakisi ugumu wa moyo
hii mara nyingi tunaona yenyewe kwa njia ya kuhalalisha dhambi moyoni
na kama shetani anaweza kufaulu kwa kuweka miyo yawe magumu
kuukubali dhambi kisiri hivi karibuni itakuwa kukubali dhambi hadharani
hata kufurahia dhambi hadharani
sio tu kwa yale tunafanya lakini kwa kile tunakosa kufanya
ukikosa kusimamia kwa jambo fulani basi utaangukia jambo fulani
nataka utafakari kwa hii - watu wa mungu
kupinga toba inaonyesha ugumu wa mioyo
na kama uangalifu hautazingatiwa, kamadhamira hautaamushwa
tutatoka kwa kuzingatia maovu hadi kwa kukubali maovu
hayo ndio shetani anataka
anataka sisi tubadili msimamo wetu wa mwanga
kwa kuwa tukiwa gizani ukweli utapinduliwa kwa urahisi
kibovu akiongoza walio vibovu
hii ndio sababu kupuuza dhambi ni jambo lenye hatari mno
hakuna mwelekeo wa kupunguza viwango vya mungu ikiisha vizuri
narudia tena, wtau wa mungu
hakuna njia ya kupunguza viwango kamili vya mungu vinavyoisha vizuri
sasa, nataka kuwapa onyo wakati huu
kuwa mwangalifu kwa hatia bandia
kama matendo yako imeongozwa na misingi nje ya neno la mungu
kwa misingi yaliyi nje ya utukufu wa mungu. jitahadhari!
shetani anapenda sana kujivaa - utakatifu, ubinafsi
kwa mavazi ya kuwa mzuri, kuwa mpole, na mwenye huruma
hayo yana mwonekano ya utakatifu lakini kukana nguvu zake mungu (timoteo wa 2 sura ya 3: 5
jihadhari na kutiwa hatia isiyo halali
msingi wa hatia wa kweli ni kwa neno na roho\
ni neno la mungu kama inavyoonyeshwa na roho mtakatifu, inayofichua giza