MAAJABU: Baba Amsamehe Muuaji Aliyemuua Binti Yake!
-
0:00 - 0:05Ulisema kumbukumbu yako, juu ya wanawake wote uliowaua, ilikuwa imetoweka.
-
0:05 - 0:07Kwetu sisi, haijatoweka.
-
0:07 - 0:11Kwa maneno yako, ulisema kwamba hawakuwa na maana yoyote kwako.
-
0:11 - 0:13Lakini alimaanisha kila kitu kwetu.
-
0:13 - 0:19Alikuwa mama. Alikuwa mke. Alikuwa dada. Na tunamkumbuka.
-
0:19 - 0:26Gary Ridgway aliketi pale, akiwa ametazama kwa uso kauzu huku jamaa za waathiriwa wakimlaani na kumdhihaki.
-
0:26 - 0:32Yeye ni mnyama. Natamani awe na kifo , cha mateso ya muda mrefu na cha kikatili.
-
0:32 - 0:36Ataenda kuzimu na huko ndiko anakostahili.
-
0:36 - 0:39Lakini basi
uso wake kauzu usio na hisia hatimaye ulivunjika -
0:39 - 0:43pale baba wa mmoja wa wahanga wake alipoonekana kumshangaza.
-
0:43 - 0:55Bwana Ridgway, kuna watu hapa ambao wanakuchukia.
-
0:55 - 0:58Mimi si mmoja wao.
-
0:58 - 1:06Umefanya iwe vigumu kuishi kulingana na kile ninachoamini.
-
1:06 - 1:10Na hivyo ndivyo
MUNGU anasema tufanye. -
1:10 - 1:12Na huko ndiko kusamehe.
-
1:12 - 1:17Umesamehewa, bwana.
-
1:17 - 1:24Nguvu ya kusamehe inatokana na kujisalimisha
-
1:24 - 1:27kwa Mwanzilishi wa msamaha.
-
1:27 - 1:33“Baba, wasamehe,”
-
1:33 - 1:41Yesu alisema Msalabani (Luka 23:34).
-
1:41 - 1:46"Baba, wasamehe."
-
1:46 - 1:56Nguvu ya kusamehe inatokana na kujisalimisha kwa Mwanzilishi wa msamaha.
-
1:56 - 2:02Siwezi kupata nguvu ndani yangu ya kusamehe.
-
2:02 - 2:06Nikijisamehe, kutakuwa na masharti.
-
2:06 - 2:07Kutakuwa na kikomo.
-
2:07 - 2:12Kutakuwa na muda ambao
nitaweka kulingana na uzito wa makosa niliyotendewa. -
2:12 - 2:17Ikiwa nitasamehe kwa nguvu zangu mwenyewe, bado nitakuwa nikipigana moyoni mwangu
-
2:17 - 2:20hata kama nimeutoa kwa mdomo.
-
2:20 - 2:25Nguvu ya kusamehe kutoka moyoni haipo
katika mwili huu. -
2:25 - 2:27Sio katika hisia zako.
-
2:27 - 2:29Si katika nguvu na uwezo wako mwenyewe.
-
2:29 - 2:32Inatokana na kujisalimisha.
-
2:32 - 2:38Ikiwa unapambana na msamaha, acha kupinga kujisalimisha.
- Title:
- MAAJABU: Baba Amsamehe Muuaji Aliyemuua Binti Yake!
- Description:
-
Huu ndio wakati wa kushangaza baba anapokabiliana na mwanamume aliyepatikana na hatia ya kumuua bintiye, pamoja na wanawake wengine 48…
“Nguvu ya kusamehe huja kwa kujisalimisha kwa Mwanzilishi wa msamaha. “Baba, wasamehe,” Yesu alisema pale Msalabani (Luka 23:34) Siwezi kupata nguvu ndani yangu ili kusamehe. Nikijisamehe, kutakuwa na masharti. Kutakuwa na kikomo. Kutakuwa na muda ambao nitaweka kulingana na uzito wa makosa niliyotendewa. Ikiwa nitasamehe kwa nguvu zangu mwenyewe, bado nitakuwa nikipigana moyoni mwangu hata kama nimeutoa kwa kinywa changu. Nguvu ya kusamehe kutoka moyoni haipo katika mwili huu. Sio katika hisia zako. Si katika nguvu na uwezo wako mwenyewe. Inatokana na kujisalimisha. Ikiwa unapambana na msamaha, acha kupinga kujisalimisha. - Ndugu Chris
Unaweza kutazama ujumbe kamili kwenye God’s Heart Tv ambapo kimetoka kipande hiki kiliochnyeshwa hapa - https://www.youtube.com/watch?v=yvRzWsIir6U
Unaweza kupata picha halisi ya klipu hii, inayoonyesha kesi ya Gary Ridgway mwaka wa 2003, hapa - https://www.youtube.com/watch?v=NmOUAdLgN1A na https://www.youtube.com/watch?v =f2_OOaP763k
- Video Language:
- English
- Team:
God's Heart TV
- Duration:
- 02:39
![]() |
georgejbudeba edited Swahili subtitles for SHOCKING: Father FORGIVES Serial Killer Who Murdered His Daughter! | |
![]() |
georgejbudeba edited Swahili subtitles for SHOCKING: Father FORGIVES Serial Killer Who Murdered His Daughter! | |
![]() |
georgejbudeba edited Swahili subtitles for SHOCKING: Father FORGIVES Serial Killer Who Murdered His Daughter! | |
![]() |
georgejbudeba edited Swahili subtitles for SHOCKING: Father FORGIVES Serial Killer Who Murdered His Daughter! | |
![]() |
georgejbudeba edited Swahili subtitles for SHOCKING: Father FORGIVES Serial Killer Who Murdered His Daughter! | |
![]() |
georgejbudeba edited Swahili subtitles for SHOCKING: Father FORGIVES Serial Killer Who Murdered His Daughter! | |
![]() |
georgejbudeba edited Swahili subtitles for SHOCKING: Father FORGIVES Serial Killer Who Murdered His Daughter! |