< Return to Video

MAAJABU: Baba Amsamehe Muuaji Aliyemuua Binti Yake!

  • 0:00 - 0:05
    Ulisema kumbukumbu yako, juu ya wanawake wote uliowaua, ilikuwa imetoweka.
  • 0:05 - 0:07
    Kwetu sisi, haijatoweka.
  • 0:07 - 0:11
    Kwa maneno yako, ulisema kwamba hawakuwa na maana yoyote kwako.
  • 0:11 - 0:13
    Lakini alimaanisha kila kitu kwetu.
  • 0:13 - 0:19
    Alikuwa mama. Alikuwa mke. Alikuwa dada. Na tunamkumbuka.
  • 0:19 - 0:26
    Gary Ridgway aliketi pale, akiwa ametazama kwa uso kauzu huku jamaa za waathiriwa wakimlaani na kumdhihaki.
  • 0:26 - 0:32
    Yeye ni mnyama. Natamani awe na kifo , cha mateso ya muda mrefu na cha kikatili.
  • 0:32 - 0:36
    Ataenda kuzimu na huko ndiko anakostahili.
  • 0:36 - 0:39
    Lakini basi
    uso wake kauzu usio na hisia hatimaye ulivunjika
  • 0:39 - 0:43
    pale baba wa mmoja wa wahanga wake alipoonekana kumshangaza.
  • 0:43 - 0:55
    Bwana Ridgway, kuna watu hapa ambao wanakuchukia.
  • 0:55 - 0:58
    Mimi si mmoja wao.
  • 0:58 - 1:06
    Umefanya iwe vigumu kuishi kulingana na kile ninachoamini.
  • 1:06 - 1:10
    Na hivyo ndivyo
    MUNGU anasema tufanye.
  • 1:10 - 1:12
    Na huko ndiko kusamehe.
  • 1:12 - 1:17
    Umesamehewa, bwana.
  • 1:17 - 1:24
    Nguvu ya kusamehe inatokana na kujisalimisha
  • 1:24 - 1:27
    kwa Mwanzilishi wa msamaha.
  • 1:27 - 1:33
    “Baba, wasamehe,”
  • 1:33 - 1:41
    Yesu alisema Msalabani (Luka 23:34).
  • 1:41 - 1:46
    "Baba, wasamehe."
  • 1:46 - 1:56
    Nguvu ya kusamehe inatokana na kujisalimisha kwa Mwanzilishi wa msamaha.
  • 1:56 - 2:02
    Siwezi kupata nguvu ndani yangu ya kusamehe.
  • 2:02 - 2:06
    Nikijisamehe, kutakuwa na masharti.
  • 2:06 - 2:07
    Kutakuwa na kikomo.
  • 2:07 - 2:12
    Kutakuwa na muda ambao
    nitaweka kulingana na uzito wa makosa niliyotendewa.
  • 2:12 - 2:17
    Ikiwa nitasamehe kwa nguvu zangu mwenyewe, bado nitakuwa nikipigana moyoni mwangu
  • 2:17 - 2:20
    hata kama nimeutoa kwa mdomo.
  • 2:20 - 2:25
    Nguvu ya kusamehe kutoka moyoni haipo
    katika mwili huu.
  • 2:25 - 2:27
    Sio katika hisia zako.
  • 2:27 - 2:29
    Si katika nguvu na uwezo wako mwenyewe.
  • 2:29 - 2:32
    Inatokana na kujisalimisha.
  • 2:32 - 2:38
    Ikiwa unapambana na kusamehe, acha kujitahidi kujisalimisha.
Title:
MAAJABU: Baba Amsamehe Muuaji Aliyemuua Binti Yake!
Description:

more » « less
Video Language:
English
Team:
God's Heart TV
Duration:
02:39

Swahili subtitles

Revisions Compare revisions