Kwa nini MUNGU anaruhusu haya yanitokee?
-
0:00 - 0:06Badala ya kuuliza, 'Kwa nini Mungu anaruhusu hili litokee KWANGU?' -
-
0:06 - 0:09badilisha umakini.
-
0:09 - 0:15'Kwa nini MUNGU anaruhusu hili linipate?'
-
0:15 - 0:20Kwa sababu ikiwa Mungu anaruhusu, ikiwa Mungu ameiruhusu - ni kwa faida yangu.
-
0:20 - 0:27Labda kuna somo analotaka ujifunze ambalo ni la lazima kwa maisha yako ya baadaye,
-
0:27 - 0:31kwa majukumu Aliyo nayo kesho kwa ajili yako.
-
0:31 - 0:35Labda anakunyenyekesha chini ya mkono Wake wenye nguvu.
-
0:35 - 0:41Huenda Yeye anakusafisha ili utoke kama dhahabu.
-
0:41 - 0:50Labda anajenga tabia yako kwa ajili ya ukuu ulio mbele yako.
-
0:50 - 0:53Mtazame Yesu!
- Title:
- Kwa nini MUNGU anaruhusu haya yanitokee?
- Description:
-
“Badala ya kuuliza, ‘Kwa nini Mungu anaruhusu hili litokee KWANGU?’ – badilisha mwelekeo. ‘Kwa nini MUNGU anaruhusu hili linifanyie?’ Kwa sababu ikiwa Mungu anatoa kibali, ikiwa Mungu anaruhusu—ni kwa faida yangu. Pengine kuna somo anataka ujifunze ambalo ni la lazima kwa maisha yako yajayo, kwa ajili ya majukumu aliyonayo kesho kwako. Huenda anakunyenyekesha chini ya mkono wake wenye nguvu. Huenda Yeye anakusafisha ili utoke kama dhahabu. Labda anajenga tabia yako kwa ajili ya ukuu ulio mbele yako. Mwangalieni Yesu!” - Ndugu Chris
Unaweza kutazama ujumbe kamili kwenye TV ya Moyo wa Mungu hapa - https://www.youtube.com/watch?v=NxRUFRD_m0U
- Video Language:
- English
- Team:
God's Heart TV
- Duration:
- 0:53
![]() |
georgejbudeba edited Swahili subtitles for Why is GOD allowing this to happen to me? | |
![]() |
georgejbudeba edited Swahili subtitles for Why is GOD allowing this to happen to me? |