< Return to Video

SIOGOPI kwa sababu SIKO PEKE YANGU!

  • 0:00 - 0:09
    “Bwana ni jabali langu na ngome yangu na mwokozi wangu;
  • 0:09 - 0:14
    Mungu wangu, mwamba wangu, nitakayemtumaini;
  • 0:14 - 0:21
    ngao yangu, na pembe ya wokovu wangu, na ngome yangu.” ( Zaburi 18:2 )
  • 0:21 - 0:29
    Nataka utangaze, sema na mimi hivi sasa:
  • 0:29 - 0:39
    “Siogopi kwa sababu siko peke yangu.
  • 0:39 - 0:49
    Mungu wangu ni mwamba wangu. Mungu wangu ni nguvu yangu. Mungu wangu ndiye ngome yangu.
  • 0:49 - 0:55
    Mungu wangu ni ngao yangu. Mungu wangu ndiye ngome yangu.
  • 0:55 - 1:02
    Siogopi kwa sababu siko peke yangu.”
  • 1:02 - 1:09
    Ingawa dhoruba zinaweza kuvuma, Mwamba wangu unabaki.
  • 1:09 - 1:11
    Hiyo ina maana gani, watu wa Mungu?
  • 1:11 - 1:20
    Dhoruba zinaweza kukuzunguka lakini unaweza kuwa na amani, utulivu ndani yako
  • 1:20 - 1:26
    kwa sababu umesimama juu ya mwamba imara wa Neno Hai la Mungu.
Title:
SIOGOPI kwa sababu SIKO PEKE YANGU!
Description:

more » « less
Video Language:
English
Team:
God's Heart TV
Duration:
01:27

Swahili subtitles

Revisions Compare revisions