< Return to Video

UJUMBE MUHIMU WA MWAKA WA 2024 | Ndugu Chris

  • 0:01 - 0:06
    USIKIVU WA KIROHO - NDUGU CHRIS
  • 0:06 - 0:12
    neema na amani kwenu nyote katika jina kuu la yesu kristu
  • 0:12 - 0:19
    na wacha nianze kwa kuwakaribisha kwa hii mwaka wa 2024
  • 0:19 - 0:21
    asante yesu
  • 0:21 - 0:24
    Asante yesu, kwa neema kuingia mwaka huu mpya
  • 0:24 - 0:30
    hakika, kwa neema kuingia siku mpya, dakika mpya, sekunde mpya.
  • 0:30 - 0:33
    kwa sababu ya neema yake
  • 0:33 - 0:41
    na watu wa mungu, njia nzuri kujitayarisha kwa mwaka 2024
  • 0:41 - 0:49
    inaanza na kukagua kila siku, ukianza na leo
  • 0:49 - 0:58
    kwa kuwa licha ya umakini wa malengo au maazimio, jua hii
  • 0:58 - 1:11
    maisha yako haitabadilika mwaka wa 2024 ila ubadili mambo ufanyayo kila siku
  • 1:11 - 1:21
    ubakie thabiti ipite mwaka 2024, kaa thabiti leo
  • 1:21 - 1:30
    utayarishe yale vitu ambavyo hauwezi kutayarisha mwaka wa 2024, ujali juu ya leo
  • 1:30 - 1:34
    kwa kuwa leo ni yako
  • 1:34 - 1:41
    sasa leo, nataka kugawa ujumbe ambao umekua ndani ya moyo wangu
  • 1:41 - 1:51
    kwa wiki za karibu na lengo kuu la ujumbe huu ni ''USIKIVU WA KIROHO''
  • 1:51 - 1:56
    Narudia , usikivu wa kiroho
  • 1:56 - 2:11
    waona, hatari kuu iletwayo na giza imefichwa kwa kutofaulu kuweza kuijtambua
  • 2:11 - 2:15
    kwa maneno mengine wacha niseme hivi
  • 2:15 - 2:25
    kutoweza kuitambua sisi yenyewe shida ndio shida yenyewe
  • 2:25 - 2:32
    hiyo ni shida kuu kuliko chenye sisi wengine tunatambua kama shida katika maisha yetu
  • 2:32 - 2:34
    na kuwa makini, watu wa mungu
  • 2:34 - 2:47
    jambo thabiti ya kukaisha na hata kuongeza shida ni kukosa kutambua shida
  • 2:47 - 2:59
    jinsi unapokumbana na shida yako ni shida kuu zaidi yenyewe
  • 2:59 - 3:02
    nataraji utafuata hayo ninayosema watu wa mungu
  • 3:02 - 3:10
    shida tunayopitia leo imekaa kwa njia tunayokumbana na shida zetu
  • 3:10 - 3:19
    na utambue hii, kuna majaribu, shida katika safari ya maisha
  • 3:19 - 3:28
    ambayo mambo ya kindani tu yaweza kukupitisha
  • 3:28 - 3:32
    kwa kauli hii, kumbuka nilichosema kuhusu ''usikivu wa kiroho''
  • 3:32 - 3:39
    nawapeleka kwa andiko katika kitabu cha Waebrania 3
  • 3:39 - 3:51
    ndio itakua andiko kuu kwa ujumbe wetu leo - Waebrania 3:12-14
  • 3:51 - 3:53
    wacha tusome, watu wa mungu
  • 3:53 - 4:04
    ''angalieni ndugu zangu, asiwepo miongoni mwenu mtu yeyote mwenye moyo wa dhambi
  • 4:04 - 4:08
    usioamini unaomfanya ajitenge na mungu wa uzima;
  • 4:08 - 4:16
    bali muonyane kila siku maadamu bado ni 'leo'
  • 4:16 - 4:23
    ili asiwepo mtu kati yenu anayefanywa mkaidi na udangayifu wa dhambi.
  • 4:23 - 4:27
    kwa kuwa tumekuwa washiriki katika kristo
  • 4:27 - 4:37
    kama twashikilia toka mwanzo ujasiri thabiti hadi mwisho
  • 4:37 - 4:51
    sasa, adui mkubwa wa kuendelea kijroho ni ugumu wa moyo
  • 4:51 - 4:58
    moyo ambao unakosa usikivu wa kiroho
  • 4:58 - 5:04
    roho ambao umetulia gizani kwa udanganyifu wa dahmbi
  • 5:04 - 5:15
    na kuwa ndani zaidi kwa udangayifu ndio zaidi giza inazidi
  • 5:15 - 5:24
    ''ikiwa basi mwanga ndani yako ni giza, hiyo giza ni kuu sana
  • 5:24 - 5:27
    maneno ya yesu katika Matayo 6:23
  • 5:27 - 5:39
    kwa kuwa adui anaweza kukudanganya, hivyo anaweza kukupoteza
  • 5:39 - 5:47
    sasa, angalia karibu nawe na chenye inafanyika duniani
  • 5:47 - 5:56
    haitachukua muda kutambua madhara ya giza
  • 5:56 - 5:58
    uasi dhidi ya mungu na neno lake
  • 5:58 - 6:02
    lakini usione karibu tu . La!
  • 6:02 - 6:06
    nakuita leo uangalie ndani yako
  • 6:06 - 6:13
    kwa kuwa moyo wa uasi wetu ni uasi wa mioyo yetu
  • 6:13 - 6:23
    wakati hisi za kimwili inapopata malengo yasiyothabiti, matendo maovu hayapo mbali sana
  • 6:23 - 6:30
    lakini ukuu wa neema ya mungu
  • 6:30 - 6:34
    ni kuwa kuna nafasi toba
  • 6:34 - 6:38
    lakini zingatia, watu wa mungu
  • 6:38 - 6:54
    uwepesi wa toba yetu unaakisi kiwango ya usikivu wa kiroho
  • 6:54 - 7:03
    upinzani wa toba inaakisi ugumu wa moyo
  • 7:03 - 7:06
    sio tu kuwa sisi wakristo hatufanyi makosa
  • 7:06 - 7:08
    tunafanya. tunaweza kufanya makosa
  • 7:08 - 7:14
    lakini unapokuwa na usikivu wa kiroho ni rahisi kuutambua
  • 7:14 - 7:18
    rahisi kuitikia, rahisi kuunganisha, na rahisi kuleta toba
  • 7:18 - 7:29
    lakini ugumu wa kutoa toba inaakisi ugumu wa moyo
  • 7:29 - 7:40
    hii mara nyingi tunaona yenyewe kwa njia ya kuhalalisha dhambi moyoni
  • 7:40 - 7:49
    na kama shetani anaweza kufaulu kwa kuweka miyo yawe magumu
  • 7:49 - 7:57
    kuukubali dhambi kisiri hivi karibuni itakuwa kukubali dhambi hadharani
  • 7:57 - 8:02
    hata kufurahia dhambi hadharani
  • 8:02 - 8:06
    sio tu kwa yale tunafanya lakini kwa kile tunakosa kufanya
  • 8:06 - 8:17
    ukikosa kusimamia kwa jambo fulani basi utaangukia jambo fulani
  • 8:17 - 8:24
    nataka utafakari kwa hii - watu wa mungu
  • 8:24 - 8:35
    kupinga toba inaonyesha ugumu wa mioyo
  • 8:35 - 8:43
    na kama uangalifu hautazingatiwa, kamadhamira hautaamushwa
  • 8:43 - 8:53
    tutatoka kwa kuzingatia maovu hadi kwa kukubali maovu
  • 8:53 - 8:55
    hayo ndio shetani anataka
  • 8:55 - 9:00
    anataka sisi tubadili msimamo wetu wa mwanga
  • 9:00 - 9:10
    kwa kuwa tukiwa gizani ukweli utapinduliwa kwa urahisi
  • 9:10 - 9:15
    kibovu akiongoza walio vibovu
  • 9:15 - 9:23
    hii ndio sababu kupuuza dhambi ni jambo lenye hatari mno
  • 9:23 - 9:36
    hakuna mwelekeo wa kupunguza viwango vya mungu ikiisha vizuri
  • 9:36 - 9:38
    narudia tena, wtau wa mungu
  • 9:38 - 9:48
    hakuna njia ya kupunguza viwango kamili vya mungu vinavyoisha vizuri
  • 9:48 - 9:52
    sasa, nataka kuwapa onyo wakati huu
  • 9:52 - 9:59
    kuwa mwangalifu kwa hatia bandia
  • 9:59 - 10:07
    kama matendo yako imeongozwa na misingi nje ya neno la mungu
  • 10:07 - 10:12
    kwa misingi yaliyi nje ya utukufu wa mungu. jitahadhari!
  • 10:12 - 10:19
    shetani anapenda sana kujivaa - utakatifu, ubinafsi
  • 10:19 - 10:29
    kwa mavazi ya kuwa mzuri, kuwa mpole, na mwenye huruma
  • 10:29 - 10:35
    hayo yana mwonekano ya utakatifu lakini kukana nguvu zake mungu (timoteo wa 2 sura ya 3: 5
  • 10:35 - 10:39
    jihadhari na kutiwa hatia isiyo halali
  • 10:39 - 10:49
    msingi wa hatia wa kweli ni kwa neno na roho\
  • 10:49 - 10:54
    ni neno la mungu kama inavyoonyeshwa na roho mtakatifu, inayofichua giza
  • 10:54 - 10:58
    kwa hivyo zaidi moyo wako unaposhrikiana na neno la mungu
  • 10:58 - 11:07
    ni zaidi neno lake mungu inatamalaki moyo wako, zaidi unavyokuwa na unyeti wa kiroho
  • 11:07 - 11:12
    inaamsha, na kukuisha sauti ya dhamira ya hisi
  • 11:12 - 11:29
    na wewe leo uko jinsi ulivyo kwa sababu ya kusikia au kutosikia udhamira wako
  • 11:29 - 11:32
    uko jinsi ulivyo leo hii
  • 11:32 - 11:44
    kwa sababu ya kusikiza au kulenga sauti ya dhamira lako
  • 11:44 - 11:54
    jinsi tunavyojiingiza zaidi kwa neno la mungu ndivyo mioyo yetu yanavyokuwa wenye utiifu
  • 11:54 - 12:01
    mioyo yetu yameamushwa kwa kukua kwa dhambi
  • 12:01 - 12:05
    hivyo tu wa haraka kutubu
  • 12:05 - 12:08
    hivyo ndivyo sababu tuko wa haraka kujua yaliyo mabaya
  • 12:08 - 12:14
    na hii hutuweka, hutukinga sisi kutokana na vifungo hatari
  • 12:14 - 12:19
    tunajikuta njiani kwa udanganyifu
  • 12:19 - 12:25
    watu wa mungu, ni nini nasisitiza kwenye ujumbe huu leo?
  • 12:25 - 12:30
    dawa ya roho ngumu
  • 12:30 - 12:38
    ni kukaa ndani ya neno na maombi
  • 12:38 - 12:47
    kukaa tukiwa wenye hisia yaliyoimarika, chunga roho yako kwa mwanga wa neno la mungu
  • 12:47 - 12:54
    maombi kila siku yaweka upotovu kando
  • 12:54 - 13:02
  • 13:02 - 13:08
  • 13:08 - 13:21
  • 13:21 - 13:24
  • 13:24 - 13:30
  • 13:30 - 13:36
  • 13:36 - 13:41
  • 13:41 - 13:46
  • 13:46 - 13:49
  • 13:49 - 13:54
  • 13:54 - 14:01
  • 14:01 - 14:09
  • 14:09 - 14:14
  • 14:14 - 14:16
  • 14:16 - 14:27
  • 14:27 - 14:35
  • 14:35 - 14:38
  • 14:38 - 14:44
  • 14:44 - 14:50
  • 14:50 - 14:58
  • 14:58 - 15:04
  • 15:04 - 15:06
  • 15:06 - 15:09
  • 15:09 - 15:15
  • 15:15 - 15:17
  • 15:17 - 15:20
  • 15:20 - 15:23
  • 15:23 - 15:25
  • 15:25 - 15:30
  • 15:30 - 15:32
  • 15:32 - 15:37
  • 15:37 - 15:40
  • 15:40 - 15:43
  • 15:43 - 15:44
  • 15:44 - 15:48
  • 15:48 - 15:52
  • 15:52 - 15:58
  • 15:58 - 16:04
  • 16:04 - 16:15
  • 16:15 - 16:20
  • 16:20 - 16:24
  • 16:25 - 16:29
  • 16:30 - 16:36
  • 16:36 - 16:45
  • 16:45 - 16:57
  • 16:57 - 17:01
  • 17:01 - 17:11
  • 17:11 - 17:15
  • 17:15 - 17:18
  • 17:18 - 17:27
  • 17:27 - 17:29
  • 17:29 - 17:37
  • 17:37 - 17:43
  • 17:43 - 17:56
  • 17:56 - 18:02
  • 18:02 - 18:07
  • 18:07 - 18:09
  • 18:09 - 18:12
  • 18:12 - 18:17
  • 18:17 - 18:27
  • 18:27 - 18:38
  • 18:38 - 18:43
  • 18:43 - 18:50
  • 18:50 - 18:55
  • 18:55 - 19:06
  • 19:06 - 19:11
  • 19:11 - 19:20
  • 19:20 - 19:29
  • 19:29 - 19:30
  • 19:30 - 19:33
  • 19:33 - 19:40
Title:
UJUMBE MUHIMU WA MWAKA WA 2024 | Ndugu Chris
Description:

more » « less
Video Language:
English
Team:
God's Heart TV
Duration:
20:11

Swahili subtitles

Revisions Compare revisions