< Return to Video

Mawaidha ya Ndoa: USIPOTEZE FUNZO LINALOTOKANA NA KUTOKUELEWANA

  • 0:00 - 0:07
    Kila ndoa liko na kutokuelewana, lakini
    sio kutoelewana yote inaweza jenga ndoa
  • 0:07 - 0:12
    Kutokuelewana ni jambo la kawaida hata
    katika ndoa iliyo na mungu
  • 0:12 - 0:16
    lakini kutoelewana inafaa kuleta
    kuelewana zaidi
  • 0:16 - 0:21
    Kutokuelewana yafaa ilete kuelewana
    kukubwa zaidi
  • 0:21 - 0:28
    tunapotelewa na funzo
    linatokana na kutokuelewana
  • 0:28 - 0:34
    badala ya iwe funzo, tunaishia
    kurudia makosa yanayoleta kutokuelewana
  • 0:34 - 0:44
    na hio ndio sababu inayofanya mapenzi
    inaingiza baridi, tunaishi kwa mambo ya kale
  • 0:44 - 0:48
    unamkumbusha bwana yako makosa
    yaliyopita
  • 0:48 - 0:53
    unamkumbusha bibi yako makosa
    yaliyopita wakati kunapokuwa na mzozo
  • 0:53 - 0:56
    unakuwa ukirudia ile makosa
  • 0:56 - 1:00
    badala ya kuyafanya yale makosa yawe funzo
    badala ya kukomaa kupitia ile kutoelewana.
  • 1:00 - 1:02
    kutokuelewana lazima kutajileta
  • 1:02 - 1:04
    kutokuelewana lazima kutajileta
  • 1:04 - 1:05
    mizozo lazima itakuja.
  • 1:05 - 1:10
    lakini sisi ni Wakristo wanaoelewa kwamba
    ya kale yamepita
  • 1:10 - 1:14
    tunafaa kujifunza kupitia ile kutoku-
    elewana.
  • 1:14 - 1:19
    Kuna tofauti kati ya uzoefu wa maisha na
    mafunzo ya maisha.
Title:
Mawaidha ya Ndoa: USIPOTEZE FUNZO LINALOTOKANA NA KUTOKUELEWANA
Description:

"Kila ndoa lina kutokuelewana, lakini sio kila kutokuelewana kunajenga ndoa. Kutokuelewana kwafaa kuleta uelewano mkubwa zaidi. wakati unakosa kuifanya kutokuelewana iwe funzo, unaishia kurudia tena na tena ile kutoelewana. Hii ndio inasababisha mapenzi kuwa baridi- kwa sababu ya kuishi kwa mambo yaiyopita. Unamkumbusha bwana yako mambo yaliyopita. Unamkumbusha bibi yako mambo yaliyopita, wakati kunakuwa na mzozo. Mnarrudia mambo yaliyopita, badala ya kubadilishwa na hio mambo. Kutokuelewana kutakuja tu, mizozo itakuja, lakini kama Wakristo wanoelewa kwamba ya kale yamepita, tujifunze kupitia changamoto zile. kuna tofauti kati ya uzoefu wa maisha na mafunzo ya maisha."

Tazama mahubiri haya ya Brother Chris hapa - https://www.youtube.com/watch?v=wM-dvPVFv9w

more » « less
Video Language:
English
Team:
God's Heart TV
Duration:
01:19

Swahili subtitles

Incomplete

Revisions Compare revisions