KANUNI TATU ZA KIROHO za KUPANGA MIPANGO YA MBELE!
-
0:00 - 0:12Usiingie kwenye makosa ya kupanga mipango ya kesho kana kwamba wewe ndiye mmiliki wake.
-
0:12 - 0:25Usiingie kwenye mtego wa kupanga mipango ya siku zijazo kana kwamba ni zako.
-
0:25 - 0:28Sisemi ni makosa kupanga mipango.
-
0:28 - 0:31Sisemi ni makosa kuangalia mbele.
-
0:31 - 0:38Ninasema unapofanya mipango kama Mkristo,
-
0:38 - 0:43lazima ufanye hivyo kwa utambuzi wa mambo matatu:
-
0:43 - 0:511. Maisha hayana uhakika
-
0:51 - 1:012. Mungu ni mwenye enzi kuu
-
1:01 - 1:103. Kila siku ina riziki yake
- Title:
- KANUNI TATU ZA KIROHO za KUPANGA MIPANGO YA MBELE!
- Description:
-
“Usiingie katika makosa ya kupanga mipango ya kesho kana kwamba wewe ndiye mmiliki wake, usiingie kwenye mtego wa kupanga mipango ya siku zijazo kana kwamba ni zako mwenyewe, unapopanga mipango ukiwa Mkristo ni lazima ufanye hivyo kwa kutambua mambo matatu;
1. Maisha hayana uhakika.
2. Mungu ni mwenye enzi kuu.
3. Kila siku ina riziki yake.Unaweza kutazama ujumbe kamili kutoka kwa Ndugu Chris hapa - https://www.youtube.com/watch?v=jlsNWVnOE80
- Video Language:
- English
- Team:
God's Heart TV
- Duration:
- 01:10
![]() |
georgejbudeba edited Swahili subtitles for THREE SPIRITUAL PRINCIPLES for PLANNING AHEAD! | Apr 30, 2025, 7:23 PM |
![]() |
georgejbudeba edited Swahili subtitles for THREE SPIRITUAL PRINCIPLES for PLANNING AHEAD! | Apr 27, 2025, 3:20 PM |
![]() |
georgejbudeba edited Swahili subtitles for THREE SPIRITUAL PRINCIPLES for PLANNING AHEAD! | Apr 27, 2025, 3:20 PM |