Jinsi nilivyopata KAZI iliyo sambamba na HATIMA yangu!! | Ushuhuda Wenye Motisha
-
0:00 - 0:04Ingawa bado niliipata ofa ya kazi hiyo,
bado nilimtafuta Mungu. -
0:04 - 0:09Kwa sababu nilielewa Alikuwa amenipa ndoto kuhusu kampuni ya awali, Kampuni A.
-
0:09 - 0:13Na sasa fursa hii na
Kampuni B ilikuwa imepatikana. -
0:13 - 0:16Kwa hiyo wakati huo nilitafuta uso wa Mungu.
-
0:16 - 0:22USHUHUDA
YV YA MOYO WA MUNGU -
0:23 - 0:33Ndiyo, watu wa Mungu, sasa hivi,
ninazungumza na kila eneo la maisha yenu -
0:33 - 0:39ambapo umekuwa ukipata msongo wa mawazo.
-
0:39 - 0:47Sasa hivi, pokea pumziko la Kimbingu
kwa jina la Yesu Kristo! -
0:47 - 0:53Pumzika katika kazi yako! Pumzika katika biashara yako! Pumzika kwenye ndoa yako! Pumzika katika familia yako!
-
0:53 - 0:56Pokea pumziko kutoka juu leo!
-
0:58 - 1:01Jina langu ni Dumisani kutoka Zambia.
-
1:01 - 1:05Ushuhuda wangu unahusu mafanikio ya kazi mwaka huu, 2024.
-
1:05 - 1:12Yote ilianza 2022 nilipomaliza shule, na wakati huo nilikuwa nikitafuta kazi.
-
1:12 - 1:18Nilikuwa nimehitimu kutoka China. Nimekuwa nikisoma nje ya nchi kwa zaidi ya miaka minne.
-
1:18 - 1:23Na nilipokea digrii yangu ya kwanza
kufikia mwisho wa mwaka wa 2022. -
1:23 - 1:26Kwa hiyo nilikuwa nimerudi Zambia,
na kipindi hicho, -
1:26 - 1:31baada ya shahada yangu ndipo nilipolazimika
kuanza kutafuta kazi. -
1:31 - 1:38Na katika hali hiyo, haikuwa rahisi hata kidogo kwa sababu ya ushindani wa soko la ajira.
-
1:38 - 1:45Tunao wahitimu wengi ambao wana uwezo wa kupata kazi yoyote ile.
-
1:45 - 1:49Lakini kwa upande wangu, nilikuwa pia nikijaribu kushindana katika soko hilohilo la ajira.
-
1:49 - 1:52Nilisomea uhandisi wa umeme na elektroniki nchini China.
-
1:52 - 2:03Ilinibidi nichukue hatua hiyo mbele ili kupata kazi inayolingana na taaluma yangu
-
2:03 - 2:04na katika kisa hiki, ilikuwa ngumu sana.
-
2:04 - 2:11Kufikia wakati huo, sikujua ni kazi gani ningeweza hata kuomba - iwe mafunzo au kujishikiza.
-
2:11 - 2:15Kwa sababu wakati wa kukaa kwangu nchini Uchina,
ambao ulikuwa wakati wa COVID, -
2:15 - 2:21ilikuwa ngumu sana kwangu kuwa na
aina yoyote ya kujishikiza kikazi -
2:21 - 2:29au kupata uzoefu wowote wakati wa masomo yangu ambao unaweza kutumika katika kutuma maombi ya kazi kwa urahisi zaidi.
-
2:29 - 2:33Kwanza kabisa, sina budi kusema kwamba
Mungu amenisaidia sana. -
2:33 - 2:37Wakati huo nilikuwa nimeomba na kumtafuta Mungu juu ya kazi gani naweza kuomba.
-
2:37 - 2:41Naweza kufanya nini? Je, ni aina gani ya nafasi ya kazi ninayopaswa kutafuta?
-
2:41 - 2:43Na katika hali hiyo, Mungu aliniongoza kweli,
-
2:43 - 2:49na kwa usadikisho huo, ilinisaidia kuanza kuangalia nafasi ya mwanafunzi aliyehitimu.
-
2:49 - 2:55Na wakati huo, iligusa sana
moyo wangu na kunihukumu. -
2:55 - 2:59Nilikuwa nimemshirikisha wazo mama yangu,
na hivyo ndivyo nilianza kufanya utafiti zaidi. -
2:59 - 3:03Niliomba kwa Mungu na kutafuta mwongozo wake kwa sababu ya usadikisho huo huo -
-
3:03 - 3:06kujua nini cha kufanya baadaye.
-
3:06 - 3:12Kwa hiyo, wakati huo, nilijaribu kutuma ombi kwenye kampuni fulani ya uchimbaji madini katika nchi yangu.
-
3:12 - 3:16Sikujua hata kuandika CV.
-
3:16 - 3:23Sikujua jinsi ya kuangazia uzoefu niliokuwa nao nchini Uchina na mara nyingi,
-
3:23 - 3:28watu wangeniambia ninahitaji uzoefu kupitia kujishikiza au aina fulani ya uzoefu wa kazi
-
3:28 - 3:32ili upate kazi kwa urahisi.
-
3:32 - 3:39Kwa hivyo nilihisi kukatishwa tamaa na ilionekana kana kwamba hakuna tumaini kwangu.
-
3:39 - 3:43Lakini nilitiwa moyo na usadikisho huo wa kufuata mafunzo ya wahitimu.
-
3:43 - 3:48Wakati huo, mama yangu alikuwa amenitia moyo kujaribu kutuma ombi mahali tofauti.
-
3:48 - 3:52Nilisema ningejaribu ingawa
nilikuwa nikihisi kukata tamaa. -
3:52 - 3:59Nilikuwa nikimfuata Ndugu Chris
tangu mapema mwaka wa 2022. -
3:59 - 4:04Kwa sababu wakati huo, alikuwa ameonekana
kwenye muhtasari wa taarifa zangu kwenye Facebook. -
4:04 - 4:09Na kisha nikatiwa moyo na maneno yake katika mahubiri fulani niliyotazama.
-
4:09 - 4:15Nilitiwa moyo kuanza kumfuata na kusikiliza mahubiri yake.
-
4:15 - 4:20Na kwa neema ya Mungu, nilianza kufuatilia kwa jumbe
-
4:20 - 4:23na klipu fupi za kutia moyo
hapa na pale. -
4:23 - 4:28Kwa hivyo wakati huo, nilipokuwa nikituma maombi,
mama yangu aliota ndoto -
4:28 - 4:35ambapo alipewa jina la 'Nishati'.
-
4:35 - 4:37Nikasema, ‘Nishati. Unamaanisha nini?'
-
4:37 - 4:44Alisema, 'Dumisani, nimeota jambo hili, na wewe ndiye pekee katika familia yetu
-
4:44 - 4:49ambaye najua amefanya jambo linalohusiana na uhandisi, kwa hiyo inapaswa kuwa yako.'
-
4:49 - 4:54Nilifikiri, 'Sawa, nishati. Ni kampuni gani
inayohusiana na nishati?' Nami nikaitazama. -
4:54 - 5:00Kwa hivyo nilikuwa na imani ya kutafiti
zaidi kuhusu kampuni hii. -
5:00 - 5:06Nilikuwa nimetafuta maoni ya Mungu kwa sababu kama si Yeye, hata nisingeweza
-
5:06 - 5:12kujua la kufanya, jinsi ya kuandika wasifu wa kazi(curriculum vitae) au kitu kama hicho.
-
5:12 - 5:20Wakati wa utafiti, niligundua kuwa walikuwa na programu ya mafunzo kwa wahitimu.
-
5:20 - 5:32Ili kutoa muktadha zaidi, mara tu nilipoanza kufikiria zaidi juu ya mafunzo kwa wahitimu,
-
5:32 - 5:36pia kulikuwa na fursa ambayo
ilikuja katika kampuni nyingine. -
5:36 - 5:39Kwa hivyo katika kisa hiki, sina budi kuelezea
kampuni hizi mbili -
5:39 - 5:42kama Kampuni A na Kampuni B,
kwa ajili ya uwazi. -
5:42 - 5:45Kwa hivyo Kampuni A ndiyo ambayo
mama yangu aliniambia kuihusu, -
5:45 - 5:49basi Kampuni B ilikuwa fursa hii ya baadaye ambayo ilikuwa imetokea.
-
5:49 - 5:53Kwa hivyo kufikia wakati huo nilisema, 'Hey, nitajaribu tu
na kutuma maombi.' -
5:53 - 5:59Na kwa neema ya Mungu, niliitwa kwenye mahojiano ambayo nilihudhuria.
-
5:59 - 6:03Niliwaza, 'Acha nijiweke pale na niende kwenye mahojiano haya.'
-
6:03 - 6:09Sikufikiri kwamba nilifanya vyema
katika mahojiano na Kampuni B. -
6:09 - 6:14Lakini kwa neema ya Mungu, nilihojiwa
na niliitwa kwa ajili ya ofa ya kazi. -
6:14 - 6:20Kwa hiyo, ingawa bado nilipokea kazi hiyo, bado nilimtafuta Mungu.
-
6:20 - 6:25Kwa sababu nilielewa Alikuwa amenipa ndoto kuhusu Kampuni A.
-
6:25 - 6:29Na sasa fursa hii na
Kampuni B ilikuwa imepatikana. -
6:29 - 6:32Kwa hiyo wakati huo nilitafuta uso wa Mungu.
-
6:32 - 6:37Na kwa neema ya Mungu, alikuwa amempa mama yangu ndoto tena.
-
6:37 - 6:41Alikuwa ameniona katika ndoto yake
nikisaini mikataba miwili. -
6:41 - 6:44Kwa hiyo kulikuwa na karatasi ndogo na kisha kulikuwa na karatasi kubwa zaidi.
-
6:44 - 6:52Karatasi ndogo iliwakilisha ofa ya kazi niliyokuwa nimepata kwanza, ambayo aliniona nikitia sahihi.
-
6:52 - 6:56Baada ya kuzinduka kutoka kwenye ndoto hiyo, alinitia moyo,
-
6:56 - 6:59'Utapata kazi hii na Kampuni B - ifanyie kazi.
-
6:59 - 7:06Lakini baadaye, utajiunga na Kampuni A - kampuni ile ile niliyokuambia juu yake hapo awali.'
-
7:06 - 7:10Kwa hiyo, kwa neema ya Mungu, nilianza
kufanya kazi katika Kampuni B -
7:10 - 7:16lakini bado nilikuwa nikitafuta mwongozo na uwazi kwa Kampuni A, kujua wakati wa Mungu ndio bora zaidi.
-
7:16 - 7:22Kwa hivyo, mapema mwaka huu, kulikuwa na fursa ambayo ilikuja na Kampuni A
-
7:22 - 7:26chini ya nafasi hiyo hiyo ya mkufunzi wa wahitimu, na nilisitasita kidogo
-
7:26 - 7:31kwa sababu ya ndoto hizo hizo na sikutaka kumwasi Mungu kwa njia yoyote ile.
-
7:31 - 7:40Kwa hiyo mnamo Februari 2024, Ndugu Chris alikuwa na Huduma ya Maombi ya Pamoja.
-
7:40 - 7:44Kufikia wakati huo, nilikuwa nikiitazama kwenye
YouTube na nilisali naye. -
7:44 - 7:47Na kwa usadikisho uliokuja
moyoni mwangu wakati wa sala, -
7:47 - 7:52Niliamua kuweka ombi
la kazi katika Kampuni A. -
7:52 - 7:57Maombi yalifunguliwa Januari,
lakini nilipata fursa tu -
7:57 - 8:01kufanya mtihani wa kupima uwezo(aptitude test) mwezi Mei.
-
8:01 - 8:08Kufikia wakati huo, watu wengi pia walikuwa wametuma maombi, wakijaribu kupata fursa hiyo pia.
-
8:08 - 8:13Lakini kwa neema ya Mungu, katika mwezi wa
Agosti 2024, nilipokea simu -
8:13 - 8:16kusema nihudhurie mahojiano.
-
8:16 - 8:23Kufikia wakati huo, nilikuwa nimeomba. Na kati ya mwezi wa Februari na Agosti,
-
8:23 - 8:31Nilikuwa bado nikiomba pamoja na Ndugu Chris kuhusu usadikisho wangu na fursa hii.
-
8:31 - 8:38Na kwa usadikisho huo, nilisikia sauti ya Mungu moyoni mwangu - ni vizuri!
-
8:38 - 8:42Nilijua nilihitaji tu kuendelea kumtegemea, kujua wakati wa Mungu ndio bora zaidi.
-
8:42 - 8:47Kwa hiyo Agosti ilikuja na nilikuwa
nimehudhuria mahojiano hayo. -
8:47 - 8:51Ninahitaji kuelezea kuwa
haikuwa wakati rahisi -
8:51 - 8:54kwa sababu wakati huo, nilikuwa nikivunjika moyo pia.
-
8:54 - 8:59Watu walikuwa wakisema, 'Hapana, kampuni hii ni ngumu sana kuingia.
-
8:59 - 9:00Labda unahitaji kujuana na mtu
-
9:00 - 9:04ili upate fursa hapo ya kupata kazi hiyo.'
-
9:04 - 9:06Na watu pia walikuwa wakitoa malalamiko.
-
9:06 - 9:09Lakini kwa ujumbe kutoka kwa Ndugu Chris,
-
9:09 - 9:14Nilitiwa moyo kuendelea kudumisha imani yangu
na kumtumaini Mungu, nikijua hilo -
9:14 - 9:20Alikuwa ametoa ndoto na mwongozo kwamba
ningeenda kwenye kampuni hii, -
9:20 - 9:22na kwamba kwa wakati Wake mwenyewe, ningeenda huko.
-
9:22 - 9:27Kwa hiyo, ingawa nyakati za kuvunjika moyo zilikuwa zimefika, Neno la Mungu lilikuwa likinitia moyo
-
9:27 - 9:31na pia jumbe na Huduma shirikishi za Maombi pamoja na Ndugu Chris.
-
9:31 - 9:34Zilikuwa zikinitia moyo sana
kwa kila namna. -
9:34 - 9:39Kwa hivyo baada ya mahojiano mnamo Agosti,
nilisubiri hadi Oktoba -
9:39 - 9:44na kwa neema ya Mungu, nilipokea simu kwamba nimepata ofa ya kazi katika Kampuni A,
-
9:44 - 9:47kampuni ambayo ninafanya kazi kwa sasa.
-
9:47 - 9:50Na unaionaje
kazi hapo kwenye jukumu hilo jipya? -
9:50 - 9:54Inasisimua kabisa.
Ninafurahia sana kazi hiyo. -
9:54 - 9:57Kwa sababu ni kitu ambacho
siku zote nilitaka kufanya. -
9:57 - 10:01Kwa neema ya Mungu nikifaulu vizuri
kupandishwa cheo (promotion) kupo mezani. -
10:01 - 10:04Neno langu la ushauri naloweza kumpa mtu yeyote,
-
10:04 - 10:09awe kijana au mtu yeyote ambaye bado yuko shuleni na labda anatazamia kupata kazi,
-
10:09 - 10:12ni kwamba tunapaswa daima kumtafuta Mungu kwanza.
-
10:12 - 10:14Tunapaswa kuanza naye
na kumaliza naye. -
10:14 - 10:18Yeye ndiye Mwanzilishi na Mkamilishaji wa imani yetu.
-
10:18 - 10:21Naye yuko pale akitutunza
katika kila eneo. -
10:21 - 10:24Tunaanza maisha yetu naye na tunapaswa kuhitimisha maisha yetu pamoja Naye.
-
10:24 - 10:29Wakati huo, hatupaswi kukatishwa tamaa, haswa na sauti zilizo nje.
-
10:29 - 10:33Na pia tunapaswa kuweka mioyo yetu
sambamba na Neno la Mungu. -
10:33 - 10:41Kama vile inavyosema katika Kitabu cha Yeremia 29:11 kuhusu mipango yake ya ajabu kwa ajili yetu.
-
10:41 - 10:44kutufanikisha, tufanikiwe,
na sio kutuangamiza. -
10:44 - 10:48Kwa njia hiyo hiyo, tunapaswa pia kuweka mioyo yetu sambamba na Neno hilo,
-
10:48 - 10:52na pia kwa maneno mengi ya hekima yaliyomo katika Biblia,
-
10:52 - 10:58ili tusipoteze mwelekeo wetu na kuchukuliwa na matamanio ya muda mfupi -
-
10:58 - 11:00'Hapana, nahitaji pesa tu, hiki na kile...'
-
11:00 - 11:05Kwa sababu zaidi ya yote, tunapaswa kutafuta kumtukuza Mungu katika kila jambo tunalofanya,
-
11:05 - 11:09ikiwa ni pamoja na kazi au kazi
ambazo tunaomba au kuingia. -
11:09 - 11:13Hivyo nakushauri usikate tamaa, endelea kutuma maombi lakini umtumaini Mungu kwa kila jambo.
-
11:13 - 11:16badala ya kuingia katika uasi.
- Title:
- Jinsi nilivyopata KAZI iliyo sambamba na HATIMA yangu!! | Ushuhuda Wenye Motisha
- Description:
-
Dumisani, kijana kutoka Zambia ambaye alisoma nchini China, anashirikisha ushuhuda wa kutia moyo - hasa kwa vijana - kuhusu jinsi alivyotafuta mwelekeo wa kimungu kwa kazi yake. Mungu alizungumza naye kupitia ndoto za mama yake pamoja na usadikisho wa moyo kutoka kwa Roho Mtakatifu - baada ya kujiunga na Ibada Shirikishi ya Maombi pamoja na Ndugu Chris. Leo, anafanya kazi iliyo sambamba na hatima yake. Utukufu ni kwa Mungu!
Ili kupokea maombi bila malipo kutoka kwa Ndugu Chris kupitia Zoom, wasilisha ombi lako la maombi hapa - https://www.godsheart.tv/zoom
➡️ Pata Kutiwa Moyo Kila Siku kwenye WhatsApp - https://godsheart.tv/whatsapp/
➡️ Kuwa Mshirika wa TV wa Moyo wa Mungu - https://godsheart.tv/partnership
➡️ Habari kuhusu Maombi ya Pamoja - https://godsheart.tv/interactive-prayer/
➡️ Jitolee kama Mtafsiri wa TV ya Moyo wa Mungu - https://godsheart.tv/translate/
➡️ Shirikisha ushuhuda wako - https://godsheart.tv/testimony
➡️ Jiunge na Ibada yetu ya Maombi ya Moja kwa Moja Jumamosi ya kwanza ya kila mwezi - https://www.youtube.com/godshearttv/live - Video Language:
- English
- Team:
God's Heart TV
- Duration:
- 11:47
![]() |
georgejbudeba edited Swahili subtitles for How I got a JOB in line with my DESTINY!! | Inspiring Testimony | |
![]() |
georgejbudeba edited Swahili subtitles for How I got a JOB in line with my DESTINY!! | Inspiring Testimony |