UPONYAJI dhidi ya BEGA LILILOKUFA GANZI!!! | "Mungu alijibu haja ya moyo wangu!"
-
0:00 - 0:06Ninaweza kuutumia mkono wangu wa kulia kwa uhuru,
-
0:06 - 0:10na ninaweza kulala vizuri kama mtoto
wakati wowote ninapotaka. -
0:10 - 0:15Sio lazima ninywe
tena dawa hizo za usingizi na za kutuliza maumivu. -
0:15 - 0:21Ninaweza kufanya kazi zangu zote bila
shida kwenye bega langu. -
0:21 - 0:27USHUHUDA WA
TV YA MOYO WA MUNGU -
0:28 - 0:36Maumivu hayo yasiyoelezeka katika kichwa chako,
moyo, mgongo, magoti, mapafu, -
0:36 - 0:41popote pale ambapo maumivu hayo yasiyoelezeka
yapo katika mwili wako, -
0:41 - 0:47Ninatangaza uponyaji sasa hivi!
Upone kwa jina kuu la Yesu! -
0:47 - 0:51Uponywe kwa
Damu ya thamani ya Yesu Kristo. -
0:53 - 0:59Jina langu ni Janet. Ninatoka Ufilipino na ninafanya kazi Hong Kong.
-
0:59 - 1:09Tatizo lililonileta kwenye TV ya Moyo wa Mungu ni maumivu ya bega la kulia.
-
1:09 - 1:14Sababu ya maumivu ya bega niliyokuwa nayo
-
1:14 - 1:21ilikuwa ajali ya pikipiki
iliyotokea miaka minne iliyopita. -
1:21 - 1:29Kwa hiyo nilienda kwa daktari na kuchukua dawa za aina mbalimbali.
-
1:29 - 1:38Nilipata matibabu ya mwili,
hata tiba vitobo na kuchua. -
1:38 - 1:46Na pia niliweka dawa za kutuliza maumivu, haswa usiku,
-
1:46 - 1:50ili kunipunguzia maumivu ili nilale.
-
1:50 - 1:56Lakini basi, maumivu yangekuja tu na kwenda.
-
1:56 - 2:02Na iliniletea shida nyingi
kwa sababu sikuweza kulala vizuri. -
2:02 - 2:08Kwa hivyo, ilibidi nitumie
dawa za kutuliza maumivu kila wakati, -
2:08 - 2:14na pia kunywa dawa za usingizi
ili tu kulala na kupumzika. -
2:14 - 2:21Lakini basi, ilichukua muda mrefu -
lakini maumivu yalirudi kila wakati. -
2:21 - 2:27Ikiwa ningeenda kwenye matibabu, maumivu
yangerudi tu. -
2:27 - 2:34Ilinipa shida katika eneo langu la kazi kwa sababu mkono wa kulia ulikuwa unauma sana.
-
2:34 - 2:40Ningehisi kufa ganzi wakati wote,
kwa hiyo nilitumia mkono wangu wa kushoto kufanya kazi. -
2:40 - 2:48Kwa sababu hiyo, nilikuwa nikimwachia mwajiri wangu vitu na ilileta shida kwa sababu
-
2:48 - 2:54ikiwa vitu nilivyoangusha vilikuwa vya bei ghali,
ilibidi nivifidie kwa pesa zangu. -
2:54 - 3:04Kwa hivyo nilikutana na God's Heart TV kwenye YouTube tarehe 5 Agosti 2024,
-
3:04 - 3:11na kisha nikatuma ombi langu la maombi na kujiunga na Huduma ya Maombi ya Pamoja.
-
3:11 - 3:18Na baada ya hapo, niliona kwamba
sikuwa na maumivu tena. -
3:18 - 3:23Na haikunilazimu nitumie dawa za usingizi.
-
3:23 - 3:33Ninalala kila ninapopenda na sihitaji
tena kutumia dawa za kutuliza maumivu. -
3:33 - 3:39Bega langu limeponywa kwa nguvu ya uponyaji ya Yesu Kristo.
-
3:39 - 3:44Ninaweza kutumia mkono wangu wa kulia kwa uhuru,
-
3:44 - 3:49na ninaweza kulala vizuri kama mtoto
wakati wowote ninapotaka. -
3:49 - 3:53Sio lazima ninywe
tena dawa hizo za usingizi na za kutuliza maumivu. -
3:53 - 3:59Ninaweza kufanya kazi zangu zote bila
shida kwenye bega langu. -
3:59 - 4:07Na pia shida niliyokuwa nikipata hapo awali katika sehemu yangu ya kazi ilikuwa
-
4:07 - 4:11uhusiano na wafanyakazi wenzangu.
-
4:11 - 4:18Ombi moja la maombi nililotuma ni Mungu anisaidie kutafuta kazi nyingine.
-
4:18 - 4:22Lakini basi baada ya
Ibada ya Pamoja ya Maombi, -
4:22 - 4:28Niliona tofauti kubwa katika jinsi
mfanyakazi mwenzangu anavyonitendea. -
4:28 - 4:36Ananiheshimu, na anazungumza nami kwa adabu, tofauti na hapo awali.
-
4:36 - 4:42Na tunashiriki chakula; tunashiriki
kila kitu ndani ya nyumba. -
4:42 - 4:50Sehemu ya kazi niliyo nayo
sasa ni ya amani sana. -
4:50 - 4:54Sihitaji kutafuta mwajiri mwingine
kwa sababu moyoni mwangu, -
4:54 - 5:01Sikutaka kwenda ikiwa kulikuwa na
amani mahali pa kazi. -
5:01 - 5:06Na Mungu akajibu haja ya moyo wangu.
-
5:06 - 5:09Kwa hiyo nampa Mungu utukufu wote.
-
5:09 - 5:14Mwanzoni ulisema kwamba pia ulikuwa unasumbuliwa na ganzi kwenye mkono wako
-
5:14 - 5:19kutokana na maumivu ya bega - bado unapata ganzi hiyo?
-
5:19 - 5:27Hakuna tena! Pako huru. niko huru katika jina la Yesu.
-
5:27 - 5:35Neno langu la kutia moyo kwa kila mtu ni - ikiwa unahisi maumivu au unajua
-
5:35 - 5:42una tatizo lolote kama vile
masuala ya afya au kitu chochote - kimbilia tu kwa Mungu. -
5:42 - 5:50Tafuta tu nguvu za Mungu maana Yesu Kristo ndilo jina lipitalo majina yote.
-
5:50 - 5:54Kwa kupigwa kwake, tumeponywa
katika jina la Yesu.
- Title:
- UPONYAJI dhidi ya BEGA LILILOKUFA GANZI!!! | "Mungu alijibu haja ya moyo wangu!"
- Description:
-
Janet kutoka Ufilipino, akifanya kazi Hong Kong, alizoea kuishi na dawa za kutuliza maumivu na tembe za usingizi kutokana na miaka minne ya maumivu makali ya bega. Baada ya kujiunga na Huduma ya Maombi ya Pamoja na Ndugu Chris, alipokea uponyaji wa papo hapo pamoja na mafanikio katika eneo lake la kazi. Utiwe moyo na ushuhuda wake wa ajabu katika jina la Yesu!
Ili kupokea maombi bila malipo kutoka kwa Ndugu Chris kupitia Zoom, wasilisha ombi lako la maombi hapa - https://www.godsheart.tv/zoom
➡️ Pata Kutiwa Moyo Kila Siku kwenye WhatsApp - https://godsheart.tv/whatsapp/
➡️ Kuwa Mshirika wa TV wa Moyo wa Mungu - https://godsheart.tv/partnership
➡️ Habari kuhusu Maombi ya Mwingiliano - https://godsheart.tv/interactive-prayer/
➡️ Jitolee kama Mtafsiri wa TV ya Moyo wa Mungu - https://godsheart.tv/translate/
➡️ Shirikisha ushuhuda wako - https://godsheart.tv/testimony
➡️ Jiunge na Ibada yetu ya Maombi ya Moja kwa Moja Jumamosi ya kwanza ya kila mwezi - https://www.youtube.com/godshearttv/live - Video Language:
- English
- Team:
God's Heart TV
- Duration:
- 06:24
![]() |
georgejbudeba edited Swahili subtitles for HEALING from FROZEN SHOULDER!!! | "God answered my heart's desires!" | |
![]() |
georgejbudeba edited Swahili subtitles for HEALING from FROZEN SHOULDER!!! | "God answered my heart's desires!" |