Ushauri wa Mahusiano: Usipigane kutoka wenye MAUDHI na usipigane ili KUUDHI!
-
0:00 - 0:08Usipigane kutoka kwenye maudhi na usipigane ili kuudhi.
-
0:08 - 0:14Pigana kwa sababu ya yaliyo sawa.
-
0:14 - 0:20Ikiwa kilicho sawa kinasababisha maudhi, ni kati ya mtu huyo na Mungu.
-
0:20 - 0:27Ikiwa kusema kweli kunaleta shida, nawaambieni, watu wa Mungu,
-
0:27 - 0:31Mungu atakutia nguvu katika shida hiyo.
-
0:31 - 0:36Ikiwa kusahihisha makosa kunavunja uhusiano,
-
0:36 - 0:41ichukue kama njia ya Mungu ya kukata uhusiano huo.
- Title:
- Ushauri wa Mahusiano: Usipigane kutoka wenye MAUDHI na usipigane ili KUUDHI!
- Description:
-
"Usipigane kutoka kwenye maudhi wala usipigane ili kuudhi; Piganeni kwa sababu ya haki; ikiwa ni haki husababisha maudhi, ni kati ya mtu huyo na Mungu. Ikiwa kusema kweli kunaleta shida, nawaambieni, watu wa Mungu, Mungu atawatia nguvu katika shida hiyo. Ikiwa kurekebisha uovu huvunja uhusiano, ichukueni kama njia ya Mungu ya kukatiza uhusiano huo."
Unaweza kutazama ujumbe kamili kutoka kwa Ndugu Chris hapa - https://www.youtube.com/watch?v=BWyJInXxbLM
- Video Language:
- English
- Team:
God's Heart TV
- Duration:
- 0:42
![]() |
georgejbudeba edited Swahili subtitles for Relationship Advice: Don’t fight from OFFENCE and don’t fight TO OFFEND! | |
![]() |
georgejbudeba edited Swahili subtitles for Relationship Advice: Don’t fight from OFFENCE and don’t fight TO OFFEND! | |
![]() |
georgejbudeba edited Swahili subtitles for Relationship Advice: Don’t fight from OFFENCE and don’t fight TO OFFEND! |