< Return to Video

Volume: how to measure it | Measurement | Pre-Algebra | Khan Academy

  • 0:00 - 0:01
  • 0:01 - 0:03
    Binadamu siku zote wamekuwa wakigundua
  • 0:03 - 0:05
    kwamba vitu vingine ni viferu kuliko vingine.
  • 0:05 - 0:07
    Kwa mfano, hiki kipande cha mstari kinaonekana
  • 0:07 - 0:09
    kirefu kuliko hiki kipande cha mstari.
  • 0:09 - 0:11
    Lakini hiyo tu hairidhishi kulinganisha.
  • 0:11 - 0:12
    Unatakiwa kuupima.
  • 0:12 - 0:14
    Unataka kujua mstari wa pili ni
  • 0:14 - 0:17
    mrefu zaidi kuliko wa kwanza.
  • 0:17 - 0:18
    Sasa je tunafanyaje?
  • 0:18 - 0:22
    Vizuri, inabidi tuwe na kipimo cha urefu.
  • 0:22 - 0:24
    Kwa hiyo kama tukichukua hiki ndicho kipimo chetu cha urefu,
  • 0:24 - 0:28
    tuchukulie hii ni hatua moja, kisha tutaweza kujua
  • 0:28 - 0:30
    je hiyo mistari mingine ina hatua ngapi?
  • 0:30 - 0:33
    Kwa hiyo mstari wa kwanza unaonekana kama--
  • 0:33 - 0:35
    tunaweza kutumia moja kati ya hivyo vipimo kisha tunaweza kurudia tena,
  • 0:35 - 0:39
    unaonekana kama una hatua mbili.
  • 0:39 - 0:41
    Wakati huu wa tatu unaonekana kama--
  • 0:41 - 0:45
    hebu tuhesabu una hatua 1, 2, 3.
  • 0:45 - 0:47
    Kwa hiyo huu una hatua tatu.
  • 0:47 - 0:50
    Na hapa ninatumia hatua.
  • 0:50 - 0:53
    Ila wakati mwingine tunatumia sentimita
  • 0:53 - 0:55
    pale ambapo kipimo huonekana kama hivi.
  • 0:55 - 0:58
    Kitaonekana tofauti kulingana na skrini yako.
  • 0:58 - 1:01
    Au tunaweza kuwa na inchi ambayo inaonekana kama hivi.
  • 1:01 - 1:03
    Au tunaweza kutumia futi ambayo
  • 1:03 - 1:06
    haiwezi kutosha kwenye hii skrini kulingana na ukubwa wa
  • 1:06 - 1:08
    inchi au mita niliouchora.
  • 1:08 - 1:09
    Kwa hiyo kuna vizio mbalimbali ambavyo
  • 1:09 - 1:12
    unaweza kutumia kupima.
  • 1:12 - 1:15
    Lakini sasa hivi hebu tufikirie vipimo vingine.
  • 1:15 - 1:17
    Huu mstari ni upande mmoja.
  • 1:17 - 1:18
    Huu ni upande mmoja.
  • 1:18 - 1:19
    Kwa nini huu ni upande mmoja?
  • 1:19 - 1:24
    Kwa sababu tunaweza kupima urefu tu.
  • 1:24 - 1:26
    Hebu sasa hivi tuone pande mbili.
  • 1:26 - 1:29
    Tuangalie pande mbili ambapo
  • 1:29 - 1:34
    maumbo yanaweza kuwa na urefu na upana au upana na kimo.
  • 1:34 - 1:37
    Hebu tuchukulie haya maumbo mawili hapa ambayo yanaonekana kam a hivi.
  • 1:37 - 1:40
    Tuchukulie hili ni umbo mojawapo.
  • 1:40 - 1:43
    Hili ni umbo la kwanza.
  • 1:43 - 1:48
    Kumbuka pia, lina upana na kimo.
  • 1:48 - 1:50
    Au unaweza kusema lina upana na urefu,
  • 1:50 - 1:51
    kulingana na jinsi utakavyoliangalia.
  • 1:51 - 1:54
    Hebu tuchukulie hili umbo hapa.
  • 1:54 - 1:56
    Hili ni lingine.
  • 1:56 - 2:01
    Na hili hapa ni umbo lingine.
  • 2:01 - 2:05
    Najaribu kuyachora vizuri.
  • 2:05 - 2:07
    Kwa hiyo lina pande mbili.
  • 2:07 - 2:10
    Tunataka kujua je hizi pande mbili
  • 2:10 - 2:12
    zinachukua nafasi ya ukubwa gani?
  • 2:12 - 2:14
    Au kila umbo lina eneo gani?
  • 2:14 - 2:16
    Tuyalinganishe tena.
  • 2:16 - 2:20
    Hili la pili, kama ukiliangalia kama zulia au mstatili,
  • 2:20 - 2:22
    mstatili wa pili unachukua nafasi kubwa ya skrini yangu
  • 2:22 - 2:25
    kuliko hili la kwanza, lakini nataka kulipima.
  • 2:25 - 2:26
    Je, tutawezaje kulipima?
  • 2:26 - 2:29
    Inabidi tena tupate vipimo vya mraba kamili.
  • 2:29 - 2:31
    badala ya kizio cha urefu, sasa hivi tuna pande mbili.
  • 2:31 - 2:34
    Inabidi tuwe na kipimo cha mraba.
  • 2:34 - 2:38
    Kwa hiyo tutakuwa na kipimo chetu cha mraba.
  • 2:38 - 2:42
    Na kipimo cha mraba tutatafsiri kama mraba,
  • 2:42 - 2:44
    ambapo upande na kimo chake
  • 2:44 - 2:47
    vyote vinalingana.
  • 2:47 - 2:52
    Kwa hiyo huu ni upana wake ambao ni hatua moja na kimo chake ni hatua moja.
  • 2:52 - 2:56
    Kwa hiyo tutasema una mita 1 za mraba.
  • 2:56 - 3:00
    kwa kawaida hii ni hatua moja.
  • 3:00 - 3:04
    Kisha unaweka hii 2 hapa, ikimaanisha kipeuo
  • 3:04 - 3:05
    Badala ya kuandika hatua, ingeweza pia
  • 3:05 - 3:07
    kuwa sentimita.
  • 3:07 - 3:09
    Kwa hiyo itakuwa sentimita 1 za mraba.
  • 3:09 - 3:12
    Lakini sasa hivi tunaweza kutumia hili umbo kupima haya maeneo.
  • 3:12 - 3:15
    Na kama tulivyosema je miraba mingapi yenye urefu huu
  • 3:15 - 3:17
    inaweza kutosha kwenye hii mistari,
  • 3:17 - 3:20
    tunaweza kujua ni miraba mingapi kama hii inaweza kutosha hapa?
  • 3:20 - 3:22
    Kwa hiyo hapa tunaweza kuchukua moja ya mraba kamili
  • 3:22 - 3:25
    na kusema unaweza kutosha nafasi hii.
  • 3:25 - 3:26
    Tunahitaji mingi zaidi ili kuweza kutosha umbo lote.
  • 3:26 - 3:29
    Tutaweka mraba mwingine pale.
  • 3:29 - 3:31
    Na mwingine hapa.
  • 3:31 - 3:34
    Tutaweka mraba mwingine hapa.
  • 3:34 - 3:37
    Vizuri, miraba 4 imeweza kutosha kwenye umbo hili.
  • 3:37 - 3:38
    Kwa hiyo tunaweza kusema kwamba hili umbo lina
  • 3:38 - 3:46
    eneo la miraba 4 au miraba 4.
  • 3:46 - 3:48
    Vipi kuhusu hili hapa?
  • 3:48 - 3:59
    inaonekana linaweza kutosha miraba 1, 2, 3, 4, 5, 6, 7, 8,
  • 3:59 - 4:00
    9.
  • 4:00 - 4:07
    Kwa hiyo hili hapa lingetosha miraba 9.
  • 4:07 - 4:08
    hebu tuendelee.
  • 4:08 - 4:10
    Tunaishi kwenye dunia yenye mwonekano wa pande tatu.
  • 4:10 - 4:12
    Kwa nini tujizuie na kuona pande mbili tu?
  • 4:12 - 4:15
    Haya hebu sasa tuone hizo pande tatu.
  • 4:15 - 4:17
    Kwa mara nyingine, watu wanaposema pande tatu,
  • 4:17 - 4:18
    wanamaanisha mwonekano wa pande zote tatu.
  • 4:18 - 4:20
    Wanazungumzia kuhusu mielekeo mitatu tofauti
  • 4:20 - 4:21
    unayoweza kupima vitu.
  • 4:21 - 4:23
    Hapa kuna urefu tu.
  • 4:23 - 4:26
    Hapa kuna urefu na upana au upana na kimo.
  • 4:26 - 4:30
    Na hapa kuna upana na kimo na kina.
  • 4:30 - 4:38
    Tuchukulie una umbo kama hili
  • 4:38 - 4:40
    na tunaishi kwenye dunia
  • 4:40 - 4:43
    yenye mwonekano wa pande tatu
  • 4:43 - 4:52
    kisha una umbo lingine kama hili,
  • 4:52 - 4:58
    inaonekana kama hili umbo la pili linachukua sehemu kubwa zaidi,
  • 4:58 - 5:01
    kuliko umbo la kwanza.
  • 5:01 - 5:04
    Linaonekana kama ni kubwa zaidi.
  • 5:04 - 5:05
    Lakini tunawezaje kulipima?
  • 5:05 - 5:08
    Kumbuka, ukubwa ni ile nafasi inayotosha umbo zima
  • 5:08 - 5:10
    na kuonekana pande tatu.
  • 5:10 - 5:14
    Eneo ni nafasi inayochukuliwa na kitu kwenye pande mbili.
  • 5:14 - 5:17
    Urefu ni nafasi inayochukuliwa
  • 5:17 - 5:18
    upande mmoja.
  • 5:18 - 5:20
    Lakini tunapofikiria kuhusu nafasi
  • 5:20 - 5:21
    huwa tunafikiria pande tatu.
  • 5:21 - 5:24
    Je wewe ungechukua nafasi kiasi gani hapa duniani
  • 5:24 - 5:25
    tunamoishi?
  • 5:25 - 5:28
    Kama tulivyofanya, tunaweza kutafsiri badala ya
  • 5:28 - 5:30
    kizio urefu au eneo,
  • 5:30 - 5:33
    tunaweza kutafsiri ukubwa au mchemraba kamili.
  • 5:33 - 5:35
    Kwa hiyo hebu tufanye wote.
  • 5:35 - 5:37
    Hebu tutafsiri mchemraba wetu.
  • 5:37 - 5:41
    Na huu hapa ni mchemraba ambao urefu, upana na kimo chake
  • 5:41 - 5:43
    vitakuwa na thamani moja.
  • 5:43 - 5:45
    Ngoja nijaribu kuchora mchemraba.
  • 5:45 - 5:47
    Na zote zitakuwa na urefu wa hatua moja.
  • 5:47 - 5:53
    Kwa hiyo itakuwa kimo cha hatua moja, na kina cha hatua moja
  • 5:53 - 5:56
    na upana wa hatua moja.
  • 5:56 - 5:58
    Kwa hiyo ili kupima ukubwa,
  • 5:58 - 6:00
    tunaweza kusema je hii michemraba mingapi inaweza kutosha
  • 6:00 - 6:02
    kwenye haya maumbo?
  • 6:02 - 6:04
    kama hili hapa
  • 6:04 - 6:06
    huwezi kuyaona yote.
  • 6:06 - 6:08
    Ninaweza kulivunjavunja
  • 6:08 - 6:11
    ngoja nihesabau kwanza
  • 6:11 - 6:13
    ili niweze kufanya vizuri.
  • 6:13 - 6:15
    Ni vigumu kidogo kuyaona yote
  • 6:15 - 6:18
    kwa sababu kuna baadhi ya michemiraba ambayo iko nyuma yake.
  • 6:18 - 6:20
    Lakini ukilichukulia kama matabaka mawili,
  • 6:20 - 6:23
    Kwa hiyo tabaka la kwanza litaonekana kama hivi.
  • 6:23 - 6:25
    Tabaka la kwanza litaonekana kama hivi.
  • 6:25 - 6:28
    Hebu fikiria vitu viwili kama hivi vimegandana
  • 6:28 - 6:31
    kwa hiyo hiki cha kwanza kitakuwa na michemiraba 1, 2, 3, 4
  • 6:31 - 6:32
    Sasa hili litakuwa na matabaka haya mawili
  • 6:32 - 6:34
    yaliyogandana.
  • 6:34 - 6:37
    Kwa hiyo hapa una hatua za ukubwa 8.
  • 6:37 - 6:41
    Au ungeweza kuwa na hatua za ukubwa 8.
  • 6:41 - 6:42
    Na hapa je?
  • 6:42 - 6:46
    Kama tukijaribu kuyaweka hapa yote--
  • 6:46 - 6:48
    ngoja nichore.
  • 6:48 - 6:51
  • 6:51 - 6:52
    Litaonekana kama hivi.
  • 6:52 - 6:56
  • 6:56 - 6:58
    Najaribu kuchora kwa haraka.
  • 6:58 - 7:01
    Kama tukijaribu kuvitenganisha hapa,
  • 7:01 - 7:05
    tungeweza kuwa na sehemu tatu zilizobandikwa
  • 7:05 - 7:08
    kila moja litaonekana kama hivi.
  • 7:08 - 7:10
    Najaribu kuchora vizuri.
  • 7:10 - 7:14
    Sehemu tatu ambazo zitaonekana
  • 7:14 - 7:19
    ninachokichora hapa.
  • 7:19 - 7:22
    Kwa hiyo litaonekana kama hivi.
  • 7:22 - 7:24
    Kwa hiyo kama ukichukua haya matabaka yaliyogandishwa pamoja
  • 7:24 - 7:27
    utapata kitu kama hiki hapa.
  • 7:27 - 7:32
    Na kila tabaka lina michemiraba 1, 2, 3, 4, 5, 6, 7, 8, 9.
  • 7:32 - 7:38
    9 mara 3, utapata hatua za ukubwa 27 kwenye hili umbo
  • 7:38 - 7:39
    hapa.
  • 7:39 - 7:41
    Hii itatusaidia
  • 7:41 - 7:43
    kupima vitu
  • 7:43 - 7:46
    hususani jinsi tunavyopima vitu katika pande tofauti,
  • 7:46 - 7:50
    hususani katika mwonekano wa pande tatu tunaita ukubwa.
Title:
Volume: how to measure it | Measurement | Pre-Algebra | Khan Academy
Description:

more » « less
Video Language:
English
Team:
Khan Academy
Duration:
07:50

Swahili subtitles

Revisions