-
-
Tumeambiwa tutafute kipeuo cha pili cha 100.
-
Ngoja niichore hii alama kubwa hapa chini ionekane vizuri.
-
Kwa hiyo kipeuo cha pili ni hii alama kubwa inayoonekana hapa
-
Kipeuo cha pili cha 100.
-
Ukiiona kama hii, ina maana
-
kipeuo cha pili cha namba chanya.
-
Kama ni mzoefu wa namba hasi, unafahamu
-
pia kuna kipeuo cha pili cha namba hasi, lakini
-
ukiona hii alama, ina maana ni kipeuo cha pili cha namba chanya.
-
Hebu sasa tufanye hili swali.
-
Tumeambiwa tutafute namba chanya,
-
ambayo tukiizidisha kwa yenyewe tunapata 100.
-
Je ni namba gani ambayo nikiizidisha kwa yenyewe ninapata 100?
-
Hebu tuone, kama nikiizidisha 9 kwa yenyewe
-
nitapata 81.
-
kama nikiizidisha 10 kwa yenyewe, napata 100.
-
Kwa hiyo, hii ni sawa na --ngoja niandike hapa
-
Kawaida unaweza kuiruka hii hatua.
-
Lakini unaweza kuiandika kama kipeuo cha pili cha --na
-
badala ya 100, 100 ni sawa na 10 mara 10.
-
Sasa umefahamu, kiepuo cha pili cha namba
-
ukiizidisha kwa yenyewe itakuwa namba fulani
-
Hii ni sawa na 10.
-
Kwa hiyo kipeuo cha pili cha 100 ni 10.
-
Au ungeweza kuiandika,
-
10 ikizidishwa kwa yenyewe, ambayo ni sawa na 10 mara 10,
-
ni sawa na 100.
-